Projects

Mradi wa Kilimo

Mradi wa kilimo wa Tanzania Islamic Centre, ambao umefanyika hivi karibuni, Kwa majaribio(Pilot project), umeonesha mafanikio makubwa. Mradi huo  unaofanyika Gezaulole umeshirikisha wataalamu wa mbolea zisizo na kemikali wajulikanao kama Greengrower Organic Fertilizer Tanzania LTD.

, , , , , ,

School (Nursery and Primary school)

, , , , ,